Kilele
- Kilele ni jina la lugha mbalimbali, k.m.:
Kilema Kaskazini
- Kilema Kaskazini ni kata ya Wilaya ya Moshi Vijijini katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,669 walioishi humo.
Kilendu
- Kilendu ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inayozungumzwa na Walendu. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kilendu nchini Kongo imehesabiwa kuwa watu 750,000. Pia
Kilema Kusini
- Kilema Kusini ni kata ya Wilaya ya Moshi Vijijini katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 22,711 walioishi humo.
Kileti
- Kileti ni lugha ya Kibantu nchini Kamerun inayozungumzwa na Waleti. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kileti iko katika kundi la A60.
Kile szuahéli kiejtés jelentése, szinonimák, antonímák, fordítások, mondatokat, sőt még többet is.