Makinikia
- Makinikia (kutoka neno "makini") ni jina la mchanga ambao hutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.
Makanisa Katoliki ya Mashariki
- Makanisa Katoliki ya Mashariki ni madhehebu 23 ya Ukristo ambayo yanafuata mapokeo mbalimbali ya Mashariki katika ushirika kamili na Askofu wa Roma (Papa), hivyo pia na Kanisa Katoliki lote d
Madini
- Madini (kwa Kiarabu: معدن, ma'adan; kwa Kiingereza: mineral) ni dutu mango inayopatikana duniani kiasili.
Makanisa ya Kikelti
- Makanisa wa Kikelti (au Ukristo wa Kikelti (kwa Kiingereza Celtic Christianity) yalikuweko katika visiwa vya Britania kuanzia karne ya 3 hadi mwanzo wa Karne za kati.
Makiidi
- Makiidi ni kata ya Wilaya ya Rombo katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 8,720 walioishi humo.
Makini szuahéli kiejtés jelentése, szinonimák, antonímák, fordítások, mondatokat, sőt még többet is.